2 Kisha akamutuma Eliakimu, mwenye alikuwa musimamizi wa nyumba,* Shebna mwandishi, na wazee wa makuhani, wakiwa wamevaa nguo za magunia, waende kwa nabii Isaya,+ mwana wa Amozi.
20 Kisha Isaya mwana wa Amozi akamutumia Hezekia ujumbe huu: “Yehova Mungu wa Israeli anasema, ‘Nimesikia sala yako+ yenye umenitolea juu ya Mufalme Senakeribu wa Ashuru.+
2 Kisha akamutuma Eliakimu, mwenye alikuwa musimamizi wa nyumba,* Shebna mwandishi, na wazee wa makuhani, wakiwa wamevaa nguo za magunia, waende kwa nabii Isaya,+ mwana wa Amozi.