Mezali 16:28 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 28 Mufanya-fujo* anatokeza mugawanyiko,+Na muchongezi anatenganisha marafiki wa karibu.+ Waroma 16:17 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 17 Sasa ninawaomba ninyi, ndugu, muangalie wale wenye wanaleta migawanyiko na kuweka vikwazo kinyume cha fundisho lenye mumejifunza, na muwaepuke.+
17 Sasa ninawaomba ninyi, ndugu, muangalie wale wenye wanaleta migawanyiko na kuweka vikwazo kinyume cha fundisho lenye mumejifunza, na muwaepuke.+