-
Wagalatia 5:20, 21Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
20 ibada ya sanamu, kupashana habari na pepo wachafu,+ uadui, mizozo, wivu, milipuko ya kasirani, magomvi, migawanyiko, mazehebu,* 21 kutamani, ulevi,+ karamu za kupitisha mipaka, na mambo kama hayo.+ Ninawaonya mbele ya wakati juu ya mambo hayo, kama vile nimekwisha kuwaonya, kwamba wale wenye wanazoea kufanya mambo kama hayo hawatariti Ufalme wa Mungu.+
-