Yobu 14:1, 2 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 14 “Mwanadamu, mwenye kuzaliwa na mwanamuke,Anaishi siku kidogo+ na zenye kujaa taabu.*+ 2 Anatokea kama ua na kisha anakauka;*+Anakimbia kama kivuli na kupotea.+ Zaburi 90:5, 6 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 5 Unawafagilia mbali;+ wanakuwa kama usingizi tu; Asubui, wao ni kama majani yenye kuchipuka.+ 6 Asubui yanatoa maua na kuwa mupya, Lakini mangaribi yanafifia na kukauka.+
14 “Mwanadamu, mwenye kuzaliwa na mwanamuke,Anaishi siku kidogo+ na zenye kujaa taabu.*+ 2 Anatokea kama ua na kisha anakauka;*+Anakimbia kama kivuli na kupotea.+
5 Unawafagilia mbali;+ wanakuwa kama usingizi tu; Asubui, wao ni kama majani yenye kuchipuka.+ 6 Asubui yanatoa maua na kuwa mupya, Lakini mangaribi yanafifia na kukauka.+