Zaburi 34:8 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 8 Muonje na muone kwamba Yehova ni mwema;+ Mwenye furaha ni mutu mwenye anamukimbilia. Zaburi 146:5 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 5 Mwenye furaha ni ule mwenye Mungu wa Yakobo ni musaidizi wake,+ Mwenye anamutumainia Yehova Mungu wake,+ Isaya 26:3 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 3 Utalinda wale wenye kukutegemea kabisa;*Utawapatia amani ya kudumu,+Kwa sababu wanakutegemea wewe+
5 Mwenye furaha ni ule mwenye Mungu wa Yakobo ni musaidizi wake,+ Mwenye anamutumainia Yehova Mungu wake,+