11 Ole wao wale wenye wanaamuka asubui sana ili wakunywe pombe,+
Wenye wanakawia mupaka giza la mangaribi sana kufikia wakati divai inawaka kama moto ndani yao!
12 Wako na kinubi na chombo cha kamba,
Ngoma ya kidogo, filimbi, na divai kwenye karamu zao;
Lakini hawafikirie kazi za Yehova,
Wala hawaone kazi ya mikono yake.