Zaburi 45:7 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 7 Ulipenda haki+ na kuchukia uovu.+ Ndiyo sababu Mungu, Mungu wako, amekutia mafuta+ kwa mafuta ya furaha+ kuliko wenzako. Matendo 10:38 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 38 juu ya Yesu mwenye alikuwa wa Nazareti, namna Mungu alimutia mafuta kwa roho takatifu+ na nguvu, na akapita katika inchi akitenda mema na kuponyesha wote wenye walikandamizwa na Ibilisi,+ kwa sababu Mungu alikuwa pamoja naye.+
7 Ulipenda haki+ na kuchukia uovu.+ Ndiyo sababu Mungu, Mungu wako, amekutia mafuta+ kwa mafuta ya furaha+ kuliko wenzako.
38 juu ya Yesu mwenye alikuwa wa Nazareti, namna Mungu alimutia mafuta kwa roho takatifu+ na nguvu, na akapita katika inchi akitenda mema na kuponyesha wote wenye walikandamizwa na Ibilisi,+ kwa sababu Mungu alikuwa pamoja naye.+