Siku ya Ine, 21 Mwezi wa 3
Neno lake linakimbia haraka sana.—Zb. 147:15.
Leo, Yehova anatuongoza kupitia Neno lake Biblia. Na “neno lake linakimbia haraka sana,” ni kusema, iko tayari kutupatia muongozo wa kiroho wakati tuko nao lazima. Fikiria namna unafaidika kwa kusoma Biblia, kujifunza vichapo vya “mutumwa muaminifu na mwenye busara,” kuangalia programu mbalimbali za JW Télédiffusion, kufungua adresi yetu ya Internete jw.org, kuzungumuza na wazee, na kujiunga na Wakristo wenzako. (Mt. 24:45) Hauone kuwa Yehova iko tayari kukutolea muongozo? Muandikaji wa zaburi alijua namna Mungu alipenda watu wake wa zamani, taifa la Israeli. Hilo tu ndilo taifa lenye Mungu alipatia “neno” lake na “hukumu zake.” (Zb. 147:19, 20) Leo, tumebarikiwa kwa sababu katika dunia yote, ni sisi tu ndio wenye kuitwa kwa jina la Mungu. Kumujua Yehova na kutumia Neno lake katika maisha yetu kumetusaidia tufurahie pendeleo la kuwa na urafiki pamoja naye. Kwa kweli, kama vile muandikaji wa Zaburi ya 147, uko na sababu nyingi za muzuri za kusema kwa sauti kubwa “Mumusifu Yah!” na kutia wengine moyo wafanye hivyo. w17.07 20 fu. 15-16; 21 fu. 18
Tarehe 18-24/03
1 Wakorinto 1-3
Wimbo 127 na Sala
Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)
UTAJIRI WA NENO LA MUNGU
“Uko Mutu wa Kimwili ao Mutu wa Kiroho?”: (Dak. 10)
[Muangalie video ya Utangulizi wa Kitabu cha 1 Wakorinto.]
1Ko 2:14—Kuwa “mutu wa kimwili” maana yake nini? (w18.02 uku. 19 fu. 4-5)
1Ko 2:15, 16—Kuwa “mutu wa kiroho” maana yake nini? (w18.02 uku. 19 fu. 6; uku. 22 fu. 15)
Chimba Ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)
1Ko 1:20—Namna gani Mungu ‘amefanya hekima ya ulimwengu ikuwe upumbavu’? (it-2-F uku. 854 fu. 5)
1Ko 2:3-5—Mufano wa Paulo unatufundisha nini? (w08 15/7 uku. 27 fu. 6)
Usomaji wa Biblia wa hii juma umekufundisha nini juu ya Yehova?
Umepata mali ingine gani ya kiroho mu usomaji wa Biblia wa hii juma?
Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) 1Ko 1:1-17 (th somo ya 10)
TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI
Video ya Kumurudilia Mutu Mara ya Kwanza: (Dak. 5) Muangalie video na kuizungumuzia.
Kumurudilia Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 3) Tumia ukurasa wa 1. (th somo ya 3)
Kumurudilia Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 4) Anza kwa kutumia ukurasa wa 1, kisha umutolee kitabu Biblia Inafundisha. (th somo ya 11)
MAISHA YA MUKRISTO
Wimbo 18
“Tukomalishe Ufundi Wetu wa Kuhubiri—Namna ya Kuandika Barua”: (Dak. 8) Mazungumuzo.
Kampanye ya Kualika Watu ku Ukumbusho Itaanza Siku ya Posho, Tarehe 23, Mwezi wa 3: (Dak. 7) Mazungumuzo yenye itaongozwa na mwangalizi wa utumishi. Patia kila musikilizaji mualiko, na useme kwa kifupi mambo yenye iko ndani. Muangalie na kuzungumuzia video ya kuonyesha namna ya kualika mutu. Zungumuzia mipango yenye imefanywa juu ya kupana mialiko mu eneo yote ya kutaniko.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 59
Rudilia mambo fulani yenye mumejifunza, na useme mambo fulani ya kujifunza juma kesho (Dak. 3)
Wimbo 51 na Sala