Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 6:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Atapata pigo na kukosa heshima,+ na shutuma yake haitafutiliwa mbali.+

  • Methali 12:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kutokana na matunda ya kinywa cha mtu, yeye hushiba mema,+ na kazi yenyewe ya mikono ya mtu itamrudia.+

  • Methali 18:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Mwovu anapoingia, dharau huingia pia;+ na ukosefu wa heshima+ huwa pamoja na shutuma.

  • Waroma 6:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Basi, ni tunda+ gani ambalo kwa kawaida mlikuwa nalo wakati huo? Mambo+ ambayo sasa mnayaonea aibu. Kwa maana mwisho wa mambo hayo ni kifo.+

  • 2 Wakorintho 4:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 bali tumeyakataa mambo ya kichinichini ambayo ni ya kuonea aibu,+ si kutembea kwa ujanja, wala kulichanganya na kitu neno la Mungu,+ bali kwa kufanya kweli iwe wazi tukijipendekeza kwa kila dhamiri ya kibinadamu machoni pa Mungu.+

  • Waefeso 5:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 kwa maana mambo ambayo wao hutenda katika siri hata kuyasimulia ni aibu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki