Methali 6:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Atapata pigo na kukosa heshima,+ na shutuma yake haitafutiliwa mbali.+ Methali 12:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kutokana na matunda ya kinywa cha mtu, yeye hushiba mema,+ na kazi yenyewe ya mikono ya mtu itamrudia.+ Methali 18:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mwovu anapoingia, dharau huingia pia;+ na ukosefu wa heshima+ huwa pamoja na shutuma. Waroma 6:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Basi, ni tunda+ gani ambalo kwa kawaida mlikuwa nalo wakati huo? Mambo+ ambayo sasa mnayaonea aibu. Kwa maana mwisho wa mambo hayo ni kifo.+ 2 Wakorintho 4:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 bali tumeyakataa mambo ya kichinichini ambayo ni ya kuonea aibu,+ si kutembea kwa ujanja, wala kulichanganya na kitu neno la Mungu,+ bali kwa kufanya kweli iwe wazi tukijipendekeza kwa kila dhamiri ya kibinadamu machoni pa Mungu.+ Waefeso 5:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 kwa maana mambo ambayo wao hutenda katika siri hata kuyasimulia ni aibu.+
14 Kutokana na matunda ya kinywa cha mtu, yeye hushiba mema,+ na kazi yenyewe ya mikono ya mtu itamrudia.+
21 Basi, ni tunda+ gani ambalo kwa kawaida mlikuwa nalo wakati huo? Mambo+ ambayo sasa mnayaonea aibu. Kwa maana mwisho wa mambo hayo ni kifo.+
2 bali tumeyakataa mambo ya kichinichini ambayo ni ya kuonea aibu,+ si kutembea kwa ujanja, wala kulichanganya na kitu neno la Mungu,+ bali kwa kufanya kweli iwe wazi tukijipendekeza kwa kila dhamiri ya kibinadamu machoni pa Mungu.+