21 Lakini ikatukia kwamba tulipofika mahali pa kulala+ na kuanza kufungua mifuko yetu, kumbe, pesa za kila mmoja wetu zilikuwa katika kinywa cha mfuko wake, pesa zetu zikiwa na uzani wake kamili. Kwa hiyo tungependa kuzirudisha kwa mikono yetu wenyewe.+