Kutoka 31:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kati yangu na wana wa Israeli ni ishara mpaka wakati usio na kipimo,+ kwa sababu katika siku sita Yehova alizifanya mbingu na dunia na katika siku ya saba alipumzika naye akaanza kujiburudisha.’”+ Waebrania 4:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa maana katika mahali fulani yeye amesema hivi juu ya siku ya saba: “Na Mungu akapumzika siku ya saba kutokana na kazi zake zote,”+
17 Kati yangu na wana wa Israeli ni ishara mpaka wakati usio na kipimo,+ kwa sababu katika siku sita Yehova alizifanya mbingu na dunia na katika siku ya saba alipumzika naye akaanza kujiburudisha.’”+
4 Kwa maana katika mahali fulani yeye amesema hivi juu ya siku ya saba: “Na Mungu akapumzika siku ya saba kutokana na kazi zake zote,”+