19 Basi Mungu akasema: “Sara mke wako kwa kweli atakuzalia mwana, nawe utamwita jina lake Isaka.+ Nami nitafanya agano langu pamoja naye kuwa agano la mpaka wakati usio na kipimo kwa uzao wake baada yake.+
3 “‘Baada ya muda nikamchukua Abrahamu+ babu yenu kutoka ng’ambo ile nyingine ya Mto,+ nikamtembeza katika nchi yote ya Kanaani na kuufanya uzao wake kuwa mwingi.+ Basi nikampa Isaka.+