Mambo ya Walawi 26:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Hayo ndiyo masharti na maamuzi ya hukumu+ na sheria ambazo Yehova aliweka kati yake na wana wa Israeli katika Mlima Sinai kupitia Musa.+ Kumbukumbu la Torati 4:45 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 45 Huu ndio ushuhuda+ na masharti+ na maamuzi ya hukumu+ ambayo Musa aliwaambia wana wa Israeli walipokuwa wakitoka Misri,
46 Hayo ndiyo masharti na maamuzi ya hukumu+ na sheria ambazo Yehova aliweka kati yake na wana wa Israeli katika Mlima Sinai kupitia Musa.+
45 Huu ndio ushuhuda+ na masharti+ na maamuzi ya hukumu+ ambayo Musa aliwaambia wana wa Israeli walipokuwa wakitoka Misri,