-
Mambo ya Walawi 5:15Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
15 “Ikiwa nafsi inajiendesha kwa njia isiyo ya uaminifu kwa kutenda dhambi bila kukusudia juu ya mambo matakatifu ya Yehova,+ basi atamtolea Yehova kondoo-dume ambaye hana kasoro kutoka katika kundi, awe toleo lake la hatia,+ kulingana na ile thamani iliyokadiriwa ya shekeli za fedha,+ kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, kuwa toleo la hatia.
-