21 Ndipo malaika wa Yehova akainyoosha ncha ya fimbo iliyokuwa mkononi mwake, akaigusa ile nyama na zile keki zisizo na chachu, na moto ukaanza kupanda kutoka katika ule mwamba, ukaiteketeza ile nyama na zile keki zisizo na chachu.+ Na yule malaika wa Yehova akatoweka machoni pake.