10 Hata hivyo, mwanamume huyo hakukubali kulala usiku kucha, bali alisimama, akaondoka na kwenda mpaka mbele ya Yebusi,+ yaani, Yerusalemu;+ naye alikuwa na wale punda-dume wawili waliotandikwa, na suria wake na mtumishi wake.
6 Basi mfalme na watu wake wakaenda Yerusalemu kupigana na Wayebusi+ wanaokaa katika nchi, nao wakaanza kumwambia Daudi: “Wewe hutaingia humu, lakini bila shaka vipofu na vilema watakufukuza,”+ wao walikuwa wakifikiri: “Daudi hataingia humu.”