19 Halafu roho ya Yehova ikaanza kutenda kazi juu yake,+ kisha akashuka Ashkeloni,+ akawapiga watu 30 kati yao, akachukua mavazi aliyowavua, akawapa mavazi hayo wale wasemaji wa kile kitendawili.+ Na hasira yake ikaendelea kuwaka, akapanda kwenda zake kwa nyumba ya baba yake.