1 Samweli 15:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “Ninajuta+ kwamba nimemfanya Sauli kuwa mfalme, kwa sababu amegeuka+ asinifuate mimi, naye hakutenda maneno yangu.”+ Nalo jambo hilo likawa lenye kumtaabisha Samweli,+ akaendelea kumlilia Yehova usiku kucha.+
11 “Ninajuta+ kwamba nimemfanya Sauli kuwa mfalme, kwa sababu amegeuka+ asinifuate mimi, naye hakutenda maneno yangu.”+ Nalo jambo hilo likawa lenye kumtaabisha Samweli,+ akaendelea kumlilia Yehova usiku kucha.+