16 Wewe nenda, uwakusanye wanaume wazee wa Israeli, na kuwaambia, ‘Yehova Mungu wa mababu zenu amenitokea,+ Mungu wa Abrahamu, Isaka na Yakobo, na kusema: “Hakika nitaelekeza fikira+ kwenu na kwa yale mnayotendewa katika Misri.
3 Basi wanaume wote wazee wa Israeli wakaja kwa mfalme katika Hebroni na Daudi akafanya agano nao katika Hebroni mbele za Yehova; kisha wakamtia mafuta+ Daudi awe mfalme juu ya Israeli, kulingana na neno+ la Yehova kupitia kwa Samweli.+