28 Ndipo Samweli akamwambia: “Yehova ameurarua+ utawala wa kifalme wa Israeli kutoka kwako leo, naye hakika atampa mwenzako ambaye ni bora kuliko wewe.+
5 Katika Hebroni alitawala akiwa mfalme juu ya Yuda kwa miaka 7 na miezi 6;+ na katika Yerusalemu+ akatawala akiwa mfalme kwa miaka 33 juu ya Israeli yote na Yuda.
3 Basi wanaume wote wazee wa Israeli wakaja kwa mfalme katika Hebroni na Daudi akafanya agano nao katika Hebroni mbele za Yehova; kisha wakamtia mafuta+ Daudi awe mfalme juu ya Israeli, kulingana na neno+ la Yehova kupitia kwa Samweli.+