Kutoka 24:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Mwishowe akachukua kitabu cha agano+ na kukisoma katika masikio ya watu.+ Kisha wakasema: “Yote ambayo Yehova amesema tuko tayari kuyafanya na kuyatii.”+ Kumbukumbu la Torati 6:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Sasa hizi ndizo amri, masharti na maamuzi ya hukumu ambayo Yehova Mungu wenu ameamuru mfundishwe,+ ili myatende katika nchi mnayovuka ili kuimiliki;
7 Mwishowe akachukua kitabu cha agano+ na kukisoma katika masikio ya watu.+ Kisha wakasema: “Yote ambayo Yehova amesema tuko tayari kuyafanya na kuyatii.”+
6 “Sasa hizi ndizo amri, masharti na maamuzi ya hukumu ambayo Yehova Mungu wenu ameamuru mfundishwe,+ ili myatende katika nchi mnayovuka ili kuimiliki;