15 Na wakati wa usiku akagawa vikosi vyake,+ yeye na watumwa wake, kupigana nao, basi akawashinda na kuendelea kuwafuata mpaka Hoba, upande wa kaskazini wa Damasko.
6 Zaidi ya hayo, Daudi akaweka kambi za kijeshi+ katika Siria ya Damasko; na Wasiria wakawa watumishi wa Daudi wa kuleta ushuru.+ Na Yehova akaendelea kumwokoa Daudi popote alipoenda.+