2 Wafalme 17:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Na mfalme wa Ashuru akapanda kuja juu ya nchi yote na kupanda kuja mpaka Samaria, akalizingira+ kwa miaka mitatu. Isaya 7:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 “Katika siku hiyo, kwa kutumia wembe uliokodiwa katika eneo la ule Mto,+ kwa kumtumia mfalme wa Ashuru,+ Yehova atakinyoa kichwa na nywele za miguu, nao utafagilia mbali hata ndevu.+
5 Na mfalme wa Ashuru akapanda kuja juu ya nchi yote na kupanda kuja mpaka Samaria, akalizingira+ kwa miaka mitatu.
20 “Katika siku hiyo, kwa kutumia wembe uliokodiwa katika eneo la ule Mto,+ kwa kumtumia mfalme wa Ashuru,+ Yehova atakinyoa kichwa na nywele za miguu, nao utafagilia mbali hata ndevu.+