Zaburi 11:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Yehova yumo katika hekalu lake takatifu.+Yehova—kiti chake cha ufalme kiko mbinguni.+Macho yake yanaangalia, macho yake yanayong’aa yanawachunguza+ wana wa binadamu. Zaburi 14:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kutoka mbinguni Yehova amewatazama wana wa binadamu walio chini,+ Ili aone kama kuna yeyote ambaye ana ufahamu, yeyote anayemtafuta Yehova.+ Methali 15:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Macho ya Yehova yako kila mahali,+ yakiwaangalia wabaya na wema.+
4 Yehova yumo katika hekalu lake takatifu.+Yehova—kiti chake cha ufalme kiko mbinguni.+Macho yake yanaangalia, macho yake yanayong’aa yanawachunguza+ wana wa binadamu.
2 Kutoka mbinguni Yehova amewatazama wana wa binadamu walio chini,+ Ili aone kama kuna yeyote ambaye ana ufahamu, yeyote anayemtafuta Yehova.+ Methali 15:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Macho ya Yehova yako kila mahali,+ yakiwaangalia wabaya na wema.+