4 Hao ndio wale ambao hawakujitia unajisi na wanawake;+ kwa kweli, wao ni mabikira.+ Hao ndio wale wanaoendelea kumfuata Mwana-Kondoo popote anapoenda.+ Hao walinunuliwa+ kutoka kati ya wanadamu wakiwa matunda ya kwanza+ kwa Mungu na kwa Mwana-Kondoo,