Zaburi 119:171 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 171 Midomo yangu na ibubujike sifa,+Kwa maana unanifundisha masharti yako.+ Methali 1:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 ili kuelewa methali na mafumbo,+ maneno ya watu wenye hekima+ na vitendawili vyao.+ Methali 18:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Maneno ya kinywa cha mwanadamu ni kilindi cha maji.+ Kisima cha hekima ni kijito cha maji yanayobubujika.+ Ezekieli 17:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Mwana wa binadamu, tega kitendawili+ na utunge neno la kimethali kuelekea nyumba ya Israeli.+
4 Maneno ya kinywa cha mwanadamu ni kilindi cha maji.+ Kisima cha hekima ni kijito cha maji yanayobubujika.+