11 Atalichunga kundi lake mwenyewe kama mchungaji.+ Atawakusanya pamoja wana-kondoo kwa mkono wake;+ naye atawabeba katika kifua chake.+ Wale wanaonyonya atawaongoza kwa uangalifu.+
31 “ ‘Na kwa habari yenu ninyi kondoo zangu,+ kondoo wa malisho yangu, ninyi ni watu wa udongo. Mimi ni Mungu wenu,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.”