32 Nao wakazidi kuwaletea wana wa Israeli habari mbaya+ juu ya nchi waliyokuwa wameipeleleza, na kusema: “Ile nchi, tuliyoipitia ili kuipeleleza, ni nchi ambayo inakula wakaaji wake; na watu wote tuliowaona katikati yake ni watu wenye ukubwa usio wa kawaida.+