52 Nanyi mnapaswa kuwafukuzia mbali wakaaji wote wa nchi hiyo kutoka mbele yenu na kuharibu maumbo yao yote ya mawe,+ nanyi mnapaswa kuziharibu sanamu zao zote za madini ya kuyeyusha,+ na mnapaswa kupaharibu mahali pao pote patakatifu.+
2 Nanyi kwa upande wenu, hampaswi kufanya agano na wakaaji wa nchi hii.+ Bomoeni madhabahu zao.’+ Lakini hamkuisikiliza sauti yangu.+ Kwa nini mmefanya hivi?+