Zaburi 145:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Mchana kutwa nitakubariki,+Nami nitalisifu jina lako mpaka wakati usio na kipimo, naam, milele.+ 1 Petro 1:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 ili sifa iliyojaribiwa ya imani+ yenu, iliyo na thamani kubwa zaidi kuliko dhahabu ambayo huharibika ijapokuwa hiyo hujaribiwa kwa moto,+ ipatikane kuwa sababu ya sifa na utukufu na heshima wakati wa ufunuo+ wa Yesu Kristo.
7 ili sifa iliyojaribiwa ya imani+ yenu, iliyo na thamani kubwa zaidi kuliko dhahabu ambayo huharibika ijapokuwa hiyo hujaribiwa kwa moto,+ ipatikane kuwa sababu ya sifa na utukufu na heshima wakati wa ufunuo+ wa Yesu Kristo.