Zaburi 123:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Nafsi yetu imeshiba sana dhihaka ya wale wanaostarehe,+Dharau la wale wenye kiburi.+ Methali 9:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Ikiwa umekuwa na hekima, umekuwa na hekima kwa ajili yako mwenyewe;+ na ikiwa umefanya dhihaka, utaichukua, wewe peke yako.+
12 Ikiwa umekuwa na hekima, umekuwa na hekima kwa ajili yako mwenyewe;+ na ikiwa umefanya dhihaka, utaichukua, wewe peke yako.+