Zaburi 139:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Je, mimi siwachukii wale wanaokuchukia vikali, Ee Yehova,+Na je, sichukizwi na wale wanaokuasi?+ Ezekieli 9:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Na Yehova akamwambia: “Pita katikati ya jiji, katikati ya Yerusalemu, nawe lazima utie alama kwenye mapaji ya uso ya watu wanaougua na kulia+ kwa sababu ya machukizo yote yanayofanywa katikati yake.”+
4 Na Yehova akamwambia: “Pita katikati ya jiji, katikati ya Yerusalemu, nawe lazima utie alama kwenye mapaji ya uso ya watu wanaougua na kulia+ kwa sababu ya machukizo yote yanayofanywa katikati yake.”+