1 Wafalme 8:58 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 58 ili aelekeze moyo wetu+ kwake ili tutembee katika njia zake zote+ na kushika amri+ zake na masharti+ yake na maamuzi yake ya hukumu,+ ambayo aliwaamuru mababu zetu. Zaburi 119:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Uelekeze moyo wangu kwa vikumbusho vyako,+Wala si kwa faida.+ Methali 21:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Moyo wa mfalme ni kama vijito vya maji mkononi mwa Yehova.+ Huugeuza kuelekea popote anapopenda.+
58 ili aelekeze moyo wetu+ kwake ili tutembee katika njia zake zote+ na kushika amri+ zake na masharti+ yake na maamuzi yake ya hukumu,+ ambayo aliwaamuru mababu zetu.