2 Mambo ya Nyakati 20:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Ee Mungu wetu, je, hutafanya hukumu juu yao?+ Kwa maana hakuna nguvu ndani yetu mbele ya umati huu mkubwa unaokuja juu yetu;+ nasi wenyewe hatujui tunalopaswa kufanya,+ lakini macho yetu yanakuelekea wewe.”+ Zaburi 25:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Macho yangu yanamwelekea Yehova daima,+Kwa maana yeye ndiye huitoa miguu yangu katika wavu.+ Zaburi 123:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 123 Nimekuinulia wewemacho yangu,+Ewe unayekaa mbinguni.+
12 Ee Mungu wetu, je, hutafanya hukumu juu yao?+ Kwa maana hakuna nguvu ndani yetu mbele ya umati huu mkubwa unaokuja juu yetu;+ nasi wenyewe hatujui tunalopaswa kufanya,+ lakini macho yetu yanakuelekea wewe.”+