Zaburi 119:110 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 110 Waovu wamenitegea mtego,+Lakini sijaondoka katika maagizo yako.+ Zaburi 124:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Nafsi yetu ni kama ndege ambaye ameponyoka+Kutoka katika mtego wa watega-chambo.+Mtego umevunjwa,+Na sisi tumeponyoka.+
7 Nafsi yetu ni kama ndege ambaye ameponyoka+Kutoka katika mtego wa watega-chambo.+Mtego umevunjwa,+Na sisi tumeponyoka.+