30 Lakini ikiwa ni kitu fulani kilichoumbwa ambacho Yehova ataumba,+ nayo nchi ifungue kinywa chake na kuwameza+ na kila kitu kilicho chao, nao washuke chini wakiwa hai mpaka katika Kaburi,+ ndipo hakika mtajua kwamba watu hawa wamemtendea Yehova bila heshima.”+