Mwanzo 39:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Basi ikawa kwamba aliposema na Yosefu siku baada ya siku, hakumsikiliza kamwe alale kando yake, awe pamoja naye.+ 1 Wafalme 21:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Hakuna kamwe mtu yeyote ambaye amepata kuwa kama Ahabu,+ aliyejiuza ili kufanya yaliyo mabaya machoni pa Yehova, ambaye Yezebeli+ mke wake alimchochea.+
10 Basi ikawa kwamba aliposema na Yosefu siku baada ya siku, hakumsikiliza kamwe alale kando yake, awe pamoja naye.+
25 Hakuna kamwe mtu yeyote ambaye amepata kuwa kama Ahabu,+ aliyejiuza ili kufanya yaliyo mabaya machoni pa Yehova, ambaye Yezebeli+ mke wake alimchochea.+