Hosea 4:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Hakika watu wangu watanyamazishwa, kwa sababu hakuna ujuzi.+ Kwa kuwa wewe mwenyewe umeukataa ujuzi,+ mimi pia nitakukataa wewe usiwe kuhani kwangu;+ na kwa sababu unaendelea kuisahau sheria ya Mungu wako,+ hata mimi nitawasahau wana wako.+ Yohana 16:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Lakini watafanya mambo haya kwa sababu hawamjui Baba wala hawanijui.+ Waroma 10:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa maana nawatolea ushahidi kwamba wana bidii+ kwa ajili ya Mungu; lakini si kulingana na ujuzi sahihi;+
6 Hakika watu wangu watanyamazishwa, kwa sababu hakuna ujuzi.+ Kwa kuwa wewe mwenyewe umeukataa ujuzi,+ mimi pia nitakukataa wewe usiwe kuhani kwangu;+ na kwa sababu unaendelea kuisahau sheria ya Mungu wako,+ hata mimi nitawasahau wana wako.+
2 Kwa maana nawatolea ushahidi kwamba wana bidii+ kwa ajili ya Mungu; lakini si kulingana na ujuzi sahihi;+