Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hosea 13:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “Nitawakomboa wao kutoka katika mkono wa Kaburi;*+ nitawaokoa wao+ kutoka kwenye kifo. Ee Kifo, iko wapi michomo yako?+ Ee Kaburi,* yako wapi maangamizi yako?+ Huruma itafichwa kutoka machoni pangu.+

  • 1 Wakorintho 15:54
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 54 Lakini huu ulio wenye kuharibika utakapovaa kutoweza kuharibika na huu unaoweza kufa utakapovaa kutoweza kufa, ndipo litakapotimia hili neno lililoandikwa: “Kifo+ kimemezwa milele.”+

  • 2 Timotheo 1:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 lakini sasa zimefanywa kuwa wazi kabisa kupitia ufunuo+ wa Mwokozi wetu, Kristo Yesu, ambaye amefuta kifo+ lakini ameangaza nuru+ juu ya uzima+ na kutoweza kuharibika+ kupitia habari njema,+

  • Waebrania 2:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 na ili awaweke huru+ wale wote ambao kwa kuogopa kifo+ walikuwa wametiishwa chini ya utumwa katika maisha yao yote.+

  • Ufunuo 20:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Na kifo+ na Kaburi* vikatupwa ndani ya lile ziwa la moto. Hili linamaanisha kifo cha pili,+ lile ziwa la moto.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki