Kumbukumbu la Torati 28:49 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 49 “Yehova atainua juu yako taifa la mbali, kutoka mwisho wa dunia,+ kama vile tai anavyorukia windo,+ taifa ambalo lugha yake hutaielewa,+ Yeremia 4:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Tazama! Atakuja kama mawingu ya mvua, na magari yake ni kama upepo wa dhoruba.+ Farasi zake ni wepesi kuliko tai.+ Ole wetu, kwa sababu tumeporwa! Maombolezo 4:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Wenye kutufuatilia wamekuwa wepesi kuliko tai wa mbinguni.+Wametufuatilia vikali juu ya milima.+ Wametuvizia nyikani.+ Habakuki 1:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na farasi zake ni wepesi kuliko chui, nao ni wakali kuliko mbwa-mwitu wa jioni.+ Na farasi zake wa vita wamekanyaga udongo, na hao farasi zake huja kutoka mbali. Linaruka kama tai anayeharakisha kwenda kula kitu.+
49 “Yehova atainua juu yako taifa la mbali, kutoka mwisho wa dunia,+ kama vile tai anavyorukia windo,+ taifa ambalo lugha yake hutaielewa,+
13 Tazama! Atakuja kama mawingu ya mvua, na magari yake ni kama upepo wa dhoruba.+ Farasi zake ni wepesi kuliko tai.+ Ole wetu, kwa sababu tumeporwa!
19 Wenye kutufuatilia wamekuwa wepesi kuliko tai wa mbinguni.+Wametufuatilia vikali juu ya milima.+ Wametuvizia nyikani.+
8 Na farasi zake ni wepesi kuliko chui, nao ni wakali kuliko mbwa-mwitu wa jioni.+ Na farasi zake wa vita wamekanyaga udongo, na hao farasi zake huja kutoka mbali. Linaruka kama tai anayeharakisha kwenda kula kitu.+