Hosea 14:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Efraimu atasema, ‘Nina nini tena na sanamu?’+ “Hakika mimi mwenyewe nitatoa jibu, nami nitaendelea kumtazama.+ Mimi ni kama mberoshi wenye majani mengi.+ Matunda kwa ajili yako yatapatikana kwangu.”
8 “Efraimu atasema, ‘Nina nini tena na sanamu?’+ “Hakika mimi mwenyewe nitatoa jibu, nami nitaendelea kumtazama.+ Mimi ni kama mberoshi wenye majani mengi.+ Matunda kwa ajili yako yatapatikana kwangu.”