Kutoka 15:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Woga na hofu zitaanguka juu yao.+Kwa sababu ya ukuu wa mkono wako watatulia kama jiwe,Mpaka watu wako+ wapite, Ee Yehova,Mpaka watu ambao umewatokeza+ wapite.+ Zaburi 98:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 98 Mwimbieni Yehova wimbo mpya,+Kwa maana ametenda mambo ya ajabu.+Mkono wake wa kuume, naam, mkono wake mtakatifu, umempatia wokovu.+ Isaya 53:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 53 Ni nani aliyeliamini jambo ambalo tumesikia?+ Na kwa habari ya mkono wa Yehova,+ umefunuliwa kwa nani?+ Luka 1:51 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 51 Ametenda kwa nguvu kwa mkono wake,+ amewatawanya kotekote wale wenye majivuno katika kusudi la mioyo yao.+
16 Woga na hofu zitaanguka juu yao.+Kwa sababu ya ukuu wa mkono wako watatulia kama jiwe,Mpaka watu wako+ wapite, Ee Yehova,Mpaka watu ambao umewatokeza+ wapite.+
98 Mwimbieni Yehova wimbo mpya,+Kwa maana ametenda mambo ya ajabu.+Mkono wake wa kuume, naam, mkono wake mtakatifu, umempatia wokovu.+
53 Ni nani aliyeliamini jambo ambalo tumesikia?+ Na kwa habari ya mkono wa Yehova,+ umefunuliwa kwa nani?+
51 Ametenda kwa nguvu kwa mkono wake,+ amewatawanya kotekote wale wenye majivuno katika kusudi la mioyo yao.+