Zaburi 118:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Yehova yuko upande wangu; sitaogopa.+Mtu wa udongo anaweza kunitenda nini?+ Methali 29:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kutetemeshwa na wanadamu ndiko huleta mtego,+ lakini yeye anayemtegemea Yehova atalindwa.+ Danieli 3:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Shadraki, Meshaki na Abednego wakajibu, nao wakamwambia mfalme: “Ee Nebukadneza, si lazima tukujibu neno lolote kuhusu jambo hili.+ Mathayo 10:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Na msiwaogope+ wale ambao wanaua mwili lakini hawawezi kuiua nafsi; lakini badala ya hivyo mwogopeni+ yeye anayeweza kuangamiza vyote viwili nafsi na mwili katika Gehena.*+
16 Shadraki, Meshaki na Abednego wakajibu, nao wakamwambia mfalme: “Ee Nebukadneza, si lazima tukujibu neno lolote kuhusu jambo hili.+
28 Na msiwaogope+ wale ambao wanaua mwili lakini hawawezi kuiua nafsi; lakini badala ya hivyo mwogopeni+ yeye anayeweza kuangamiza vyote viwili nafsi na mwili katika Gehena.*+