Yeremia 31:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 “‘Kama masharti haya yangeweza kuondolewa mbele zangu,’+ asema Yehova, ‘vivyo hivyo wale ambao ni uzao wa Israeli wangeweza kukoma wasiwe taifa mbele zangu sikuzote.’”+ Ezekieli 39:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Nami sitaendelea tena kuwaficha uso wangu,+ kwa sababu nitaimimina roho yangu juu ya nyumba ya Israeli,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.”
36 “‘Kama masharti haya yangeweza kuondolewa mbele zangu,’+ asema Yehova, ‘vivyo hivyo wale ambao ni uzao wa Israeli wangeweza kukoma wasiwe taifa mbele zangu sikuzote.’”+
29 Nami sitaendelea tena kuwaficha uso wangu,+ kwa sababu nitaimimina roho yangu juu ya nyumba ya Israeli,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.”