2 Mwanzo wa neno la Yehova kupitia Hosea, Yehova alimwambia Hosea: “Nenda,+ jichukulie mke wa uasherati na watoto wa uasherati, kwa maana kwa sababu ya uasherati hakika nchi imegeuka isimfuate Yehova.”+
20 “ ‘Hata hivyo, nina hili dhidi yako, kwamba unamvumilia yule mwanamke Yezebeli,+ anayejiita mwenyewe nabii, naye anafundisha+ na kuwapotosha watumwa wangu+ wafanye uasherati+ na kula vitu vilivyotolewa dhabihu kwa sanamu.+