Zaburi 34:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Yehova yuko karibu na wale waliovunjika moyo;+Naye huwaokoa wale waliopondwa roho.+ Isaya 66:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Sasa mikono yangu imefanya hivi vyote, hivi kwamba hivi vyote vikaja kuwako,”+ asema Yehova. “Basi, nitamtazama huyu, yeye anayeteseka na kujuta rohoni+ na kutetemeka kwa ajili ya neno langu.+
2 “Sasa mikono yangu imefanya hivi vyote, hivi kwamba hivi vyote vikaja kuwako,”+ asema Yehova. “Basi, nitamtazama huyu, yeye anayeteseka na kujuta rohoni+ na kutetemeka kwa ajili ya neno langu.+