7 “Siku za kukaziwa fikira zitakuja;+ siku za malipo yanayostahili zitakuja.+ Watu wa Israeli watajua habari hiyo.+ Nabii atakuwa mpumbavu,+ mtu wa neno lililoongozwa na roho atatiwa wazimu kwa sababu ya wingi wa makosa yako,+ hata uadui kuwa mwingi.”