8 Nitakutana nao kama dubu ambaye amepoteza watoto wake,+ nitaurarua ukuta wa moyo wao. Nami nitawala hapo kama simba;+ mnyama wa mwituni atawararua vipande-vipande.+
19 kama vile tu mtu anavyomkimbia simba, kisha dubu anakutana naye; na kama vile alivyoingia ndani ya nyumba akauegemeza mkono wake ukutani, naye nyoka akamuuma.+