12 Na hakika itatukia kwamba, mimi nikiondoka kwako, ndipo roho+ ya Yehova itakapokuchukua na kukupeleka mahali ambapo mimi sitajua; nami nitakuwa nimekuja kumwambia Ahabu, naye hatakupata, naye hakika ataniua,+ kwa kuwa mtumishi wako amemwogopa Yehova tangu ujana wake.+