-
Ezekieli 33:12Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
12 “Na wewe, Ee mwana wa binadamu, waambie wana wa watu wako, ‘Uadilifu wenyewe wa mwadilifu hautamkomboa katika siku ya maasi yake.+ Lakini kwa habari ya uovu wa mwovu, hautamtikisa katika siku atakapogeuka na kuuacha uovu wake.+ Wala hata mtu yeyote mwenye uadilifu hataweza kuendelea kuishi kwa sababu ya huo siku ile atakapotenda dhambi.+
-